Saturday, 4 June 2016
HII NDO DUNIA YA LEO WARUMI 12:2
WADADA;
HUKU NI KWENDA NA SHETANI? au NI KWENDA NA WAKATI?
Kuna
wadada wengi sana (ila sio wote),
WANAMPIGIA
SHETANI KAMPENI
.
THEY LACK
CONFIDENCE ABOUT THEIR BEAUTY
. Na
wanaitumia hiyo miili yao kuangusha watu kiroho. Badala ya kuvaa nguo nzuri za
kupendeza, wanavaa nguo za ajabu ajabu za kutega wanaume. Mdada anavaa nguo za
“kutamanisha” badala
ya za “kupendezesha”. Wanavaa visuruari vinavyowachora
Tuesday, 22 March 2016
A FIGHT FOR A TERRITORY.(PAMBANA DHIDI YA MILIKI AU HIMAYA YAKO)
BY LUHWAGO SHADRACK C PDF HERE>>>
What is a territory?.
What is in the territory?
Why to fight for your territory?
Hii ndiyo maana ya kawaida kabisa ya neno Territory is (an area of) land or sometimes sea, which is considered as belonging to or connected with a particular country or person.
KATIKA HII DIFINITION KUNA MANENO KAMA connected, na belonging.ni maneno ambayo yamenisukuma siku ya leo kutoa somo hili kwako mpendwa Taifa Teule la Mungu.
Kwa hali ya kawaida kila mmoja wetu ana miliki
What is a territory?.
What is in the territory?
Why to fight for your territory?
Hii ndiyo maana ya kawaida kabisa ya neno Territory is (an area of) land or sometimes sea, which is considered as belonging to or connected with a particular country or person.
KATIKA HII DIFINITION KUNA MANENO KAMA connected, na belonging.ni maneno ambayo yamenisukuma siku ya leo kutoa somo hili kwako mpendwa Taifa Teule la Mungu.
Kwa hali ya kawaida kila mmoja wetu ana miliki
Tuesday, 15 March 2016
MAARIFA YA NDOTO KATIKA ULIMWENGU WA ROHO
Imeandaliwa na luhwago shadrack c contacts 0764444277/0712105099
luhwagoshadrack17@gmail.com.
PDF HERE
Ndoto ni mtiririko wa picha zitembeazo katika akili ya mtu,pindi mtu huyo anapokuwa amelala. Ndoto huja pale mtu anapokuwa amelala,na ndio maana huwezi kumkuta mtu ambaye ajalala,mtu atembeaye kisha akuambie ya kwamba alikuwa anaota ndoto wakati anatembea.
Actually ndoto husubiri kupumzika kwa akili. Wakati mwingine
UTUKUFU NI MBELE KWA MBELE
Mungu
alichokuwekea hakiozi. Ni methali ya Tanzania. Ni methali ambayo inatia
matumaini kwa watafutaji na waliokata tamaa. Makubwa Mungu aliyokuwekea
yatafunuliwa mbele kwa mbele. Utukufu ni mbele kwa mbele. Mungu anaweza
kubadili
Thursday, 25 February 2016
USIKATE TAMAA KWANI PANCHA SIYO MWISHO WA SAFARI
Na Faustin Kamugisha
“MUWE TAYARI siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo
“MUWE TAYARI siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo
Monday, 15 February 2016
THE POWER OF COVENANT, AGREEMENT AND RESPONSIBILITY IN FAITH.
Nimekumbushwa na Roho Mtakatifu kutoa somo hili
Wanaongia katka makubaliano wanakuwa na sifa gani
Nimefundisha somo hili katika fellowship mbalimbali na wengi wamesonga mbele kiroho
kwa kawaida Wanaopatana
- Nini maana ya covenant
- Agano
- Maana yake ni nini
- What is agreement?
- And what is responsibility
Wanaongia katka makubaliano wanakuwa na sifa gani
Nimefundisha somo hili katika fellowship mbalimbali na wengi wamesonga mbele kiroho
kwa kawaida Wanaopatana
Friday, 12 February 2016
"NEEMA YA KUKUSAIDIA WAKATI WA MAHITAJI (MAGUMU/ SHIDA/ CHANGAMOTO/ MATATIZO)"
Waebrania 4:16
"Basi na tukikaribie KITI CHA NEEMA kwa ujasiri, ili
tupewe REHEMA, NA KUPATA NEEMA YA KUTUSAIDIA WAKATI WA MAHITAJI"
Ni habari njema mno kujua kuwa mbinguni hakuna kiti cha
hukumu tu.
Hakuna kiti cha enzi tu.
Pia kuna kiti cha neema. Kiti maalum ambacho kinaachilia
neema kwa walio ndani ya Yesu.
Ukimwendea Yesu
KUFUNGA NA KUOMBA
kufunga nini?
kuomba ni kitu gani?
kuomba na kufunga kuna uhusiano gani?
katika hili zipo sababu nyingi sana kwa nini tunafunga na kuomba. kwa leo ngoja nikupitishe katika maandiko , uweze kuelewa hili na litakusaidia sana .BABA KATIKA JINA LA YESU KRISTO UTUTAZAME SISI WAJA WAKO , UELEWA WA SOMO HILI SAWASAWA NA MAPENZI YAKO. AMINA.
Thursday, 4 February 2016
SHINA LA UKOO NA URITHI ULIOMO NDANI YAKE
SHINA LA UKOO NA URITHI.
Imeandaliwa na mr.luhwago shadrack c mwanafunzi wa
sayansi ya chakula na teknolojia SUA (2013-2016)
Mawasiliano: 0764444277, luhwagoshadrack17@gmail.com
UTANGULIZI.
Somo hili ni pana na lina mafundisho jinsi ya kutambua
jinsi dhambi mbali mbali zinavyoweza kutoka kizazi kimoja kwenda kizazi kingine
,
Bila ya kizazi chenyewe
kutambua
MAANA
YA SHINA LA UKOO URITHI
Katika kichwa hiki cha somo tunatakiwa tujue maana ya
maswali yafuatayo
ü a/ nini maana ya shina
ü b/nini maana ya shina la ukoo
ü c/nini maana ya urithi
ü d/nani anarithishwa
ü e/ sifa za mwenye
kurithishwa
Subscribe to:
Posts (Atom)