WADADA;
HUKU NI KWENDA NA SHETANI? au NI KWENDA NA WAKATI?
Kuna
wadada wengi sana (ila sio wote),
WANAMPIGIA
SHETANI KAMPENI
.
THEY LACK
CONFIDENCE ABOUT THEIR BEAUTY
. Na
wanaitumia hiyo miili yao kuangusha watu kiroho. Badala ya kuvaa nguo nzuri za
kupendeza, wanavaa nguo za ajabu ajabu za kutega wanaume. Mdada anavaa nguo za
“kutamanisha” badala
ya za “kupendezesha”. Wanavaa visuruari vinavyowachora
miili na maungo yao. Wanavaa suruali kama viplastiki- wanavaa nusu uchi. Hali imekua mbaya kiasi kwamba unajiuliza huyu ni mtu wa Mungu? au ni PEPO linatembea?”
miili na maungo yao. Wanavaa suruali kama viplastiki- wanavaa nusu uchi. Hali imekua mbaya kiasi kwamba unajiuliza huyu ni mtu wa Mungu? au ni PEPO linatembea?”
Is their body for cursing or for blessings? For satanic or for
Godly? Je, Wanafanya matangazo ya kuzini? Wanavaa visoksi! Hata style na jinsi
wanavyotembea lazima utaona wanamatatizo. Are they emotional manipulators?
Je, watu
hawa wanamapepo?
Hivyo
vinguo havimpi mvaaji heshima bali vinaonesha upotevu wake tu. It shows how
much she lacks confidence about her beauty.
Je,
humwogopi Mungu kiasi kwamba ukamchezea na kujifanya mwema siku ya kanisani tu
alafu ukatumika kuteketeza, kuzinisha na kuangusha kiroho watu wa Mungu kwa
wiki nzima? Dhambi ya kuzini moyoni ikishakua hufanya mtu aone kuzini kimwili
ni kiwaida tu.
Huyo
mdada huangusha vijana wangapi darasani mwao? Kwamaana wako pamoja mda wote wa
darasani.
Je,
itakua ni kosa kwa wadada wa namna hii kuitwa
“PEPO”?
Can
the Christian body with Holy Spirit be used to make people commit
adultery in their hearts? Wadada wa namna hii (ambao hawataacha) hawajipendi
hata wenyewe.
Kwa maana
imeandikwa
, “
Love your
neighbor as yourself.
As it is
written;
“
Mambo
yasababishayo watu watende dhambi hayana budi kutukia
.
Lakini
ole wake mtu yule anayeyasababisha (
Luke
17:1)”.
You
cannot love God in your heart and then curse God by your body
. Ni
hatari iliyoje kwa Mdada/mwanaume kutomuogopa Mungu? HATA KANISA HAWALIJUI!
Mungu hatengenezi watu wanafiki kiasi hicho.
Kuna wengine
watasema mioyoni mwao, “this is private life”. Huo ni ushauri wa kishetani
kama
mtu anavaa nguo na kutembea nazo publically halafu huku akawa anadhani
anachokifanya ni private.
Wengine
wajitetea eti kuvaa visuruari, viplastiki, vitopu, vipedo, vipensi, na visiketi
vifupi kama vya makahaba….. kwamba eti ni kwenda na wakati. huko ni
kwenda na shetani na wala sio kwenda na wakati.
NASISI
WANAUME
(sio
wote) tuna matatizo, haiwezekani kabisa kwa mtu kuzini mwoyoni mwake. Only if
our mind is filled with sexual desires, sexual movies, imaginations and sexual
pictures. Kwa maana kama kichwa kimejaa hayo mambo, lazima utazini moyoni mwako
tu. Kwamaana kila ukimuona mdada aliye vaa Kishetani anakuwa compliment wako na
kukufanya uzini moyoni mwako. The ultimate target of satan is male. Ukitaka
kujua hili angalia karibu kila kitu … music videos, movies, tv, etc, utaona mwanamke yuko nusu
uchi lakini mwanaume amependeza, lengo pale ni kumdaka mwanaume anaeangalia. Na
mwisho wa siku ni mtu kuzini kimwili.
NB.
TUNAJUA
NI KWELI WADADA WENGI SANA WANAMPENDA MUNGU
. (ndio
maana tumeandika kwa viurizo ili mtu ajijaji mwenyewe na Mungu wake). Huenda
walikua wanafanya haya bila kujua. Kama ndio hivyo; BADILIKENI. Kwa wale mwenye
mapepo, haya mambo ni kazi sana kuyaacha na kazi yote hii itaonekana kuwa
takataka tu mbele yao. Hao wamepumbazwa hata ukweli huu hawatauona na wataona
complications tu. Na huenda waliyapata mapepo kwa njia ya kuzini (kimwili). Mtu
yeyote anae-zini au kufanya uasherati hua anapoteza Roho Mtakatifu papo hapo na
ndani mwake hujazwa na roho wa shetani (mapepo). Je, kuna anay eweza kusema “ewe
Roho Mtakatifu ulie ndani mwangu hebu naomba ukae pembeni ili nizini alafu
nikimaliza utarudi tena
”. Ninani
atasema hivyo?
Kwa hiyo
kama mtu yeyote (male/female) alishazini alafu mpaka sasa yupoyupo tuu,
hajatubu na hajamkiri YESU kwa kinywa chake kama Bwana na Mwokozi wake, huyo
bado anamapepo na anaishi nayo mpaka sasa “ukimuona
mwanadamu ana penda kuzini, huyo sio yeye… bali ni mapepo…yalio
ndani mwake”. “ Ukimuona mdada amesoma kazi hii, akapuuza,
akaendelea kuvaa kishetani…huyo sio yeye, bali ni mapepo”
No comments:
Post a Comment