Friday, 12 February 2016

KUFUNGA NA KUOMBA



kufunga nini?
kuomba ni kitu gani?
kuomba na kufunga kuna uhusiano gani?
katika hili zipo sababu nyingi sana kwa nini tunafunga na kuomba. kwa leo ngoja nikupitishe katika maandiko , uweze kuelewa hili na litakusaidia   sana  .BABA KATIKA JINA LA YESU KRISTO UTUTAZAME SISI WAJA WAKO , UELEWA WA SOMO HILI SAWASAWA NA MAPENZI YAKO. AMINA.


: 18  Yesu akamkemea pepo, naye akamtoka; yule kijana akapona tangu saa ile.
Mathayo 17 :18
19  Kisha wale wanafunzi wakamwendea Yesu kwa faragha wakasema Mbona sisi hatukuweza kumtoa?
Mathayo 17 :19
: 20  Yesu akawaambia, Kwa sababu ya upungufu wa imani yenu. Kwa maana, amin, nawaambia, Mkiwa na imani kiasi cha punje ya haradali mtauambia mlima huu, Ondoka hapa uende kule; nao utaondoka; wala halitakuwako neno lisilowezekana kwenu.
Mathayo 17 :20
: 21  [Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga.]
Mathayo 17 :21
: Kuna  magumu mengi yanatukabiri yakiwemo kwenye huduma zetu na fellowship  yetu kama hatutafunga na kuomba  kamwe hatutafanikiwa
: Wengi wetu tumekuwa wazito kwenye  kufunga. Ngoja nikwambie  hata  wale wanaomtumikia rusifa ibilisi hufunga  ili kupewa nguvu na kuonana na mkuu wao Huyo.  Wewe  mwana wa Mungu kwanini unashindwa kufunga ? Je  utashinda hiyo vita! Je  mapepo yatakutii ?  Jamani tubadilike
: Kuna  mtu  mmoja ambaye  alikuwa anamtumikia ibilisi  alishuhudia baada ya kuokoka na kusema alifunga siku 40 ili akaonane na rusifa. Ili apewe nguvu na cheo. Ilipofika siku ya 36 alikatisha  katka mkutano mmoja wa  injili huko Kenya akashikwa na mchungaji ndipo ikawa siku  ya wokovu wake
: Je  Wewe. Mwana Mungu?
: Tubadilike
: Ee  Bwana Yesu tujalie Imani

2 comments: