Thursday, 25 February 2016

USIKATE TAMAA KWANI PANCHA SIYO MWISHO WA SAFARI

Na Faustin Kamugisha
MUWE TAYARI siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo

Monday, 15 February 2016

THE POWER OF COVENANT, AGREEMENT AND RESPONSIBILITY IN FAITH.

 Nimekumbushwa na Roho Mtakatifu kutoa somo hili
  1.  Nini maana ya covenant
  2.  Agano
  3.  Maana yake ni nini
  4.  What is agreement?
  5.  And what is responsibility
 Akina nani wanaingia katika agano, makubaliano na kupeana majukumu?
Wanaongia katka makubaliano wanakuwa na sifa gani
 Nimefundisha somo hili katika fellowship mbalimbali na wengi wamesonga mbele kiroho
kwa kawaida  Wanaopatana

Friday, 12 February 2016

"NEEMA YA KUKUSAIDIA WAKATI WA MAHITAJI (MAGUMU/ SHIDA/ CHANGAMOTO/ MATATIZO)"




Waebrania 4:16
"Basi na tukikaribie KITI CHA NEEMA kwa ujasiri, ili tupewe REHEMA, NA KUPATA NEEMA YA KUTUSAIDIA WAKATI WA MAHITAJI"
Ni habari njema mno kujua kuwa mbinguni hakuna kiti cha hukumu tu.
Hakuna kiti cha enzi tu.
Pia kuna kiti cha neema. Kiti maalum ambacho kinaachilia neema kwa walio ndani ya Yesu.
Ukimwendea Yesu

KUFUNGA NA KUOMBA



kufunga nini?
kuomba ni kitu gani?
kuomba na kufunga kuna uhusiano gani?
katika hili zipo sababu nyingi sana kwa nini tunafunga na kuomba. kwa leo ngoja nikupitishe katika maandiko , uweze kuelewa hili na litakusaidia   sana  .BABA KATIKA JINA LA YESU KRISTO UTUTAZAME SISI WAJA WAKO , UELEWA WA SOMO HILI SAWASAWA NA MAPENZI YAKO. AMINA.

Thursday, 4 February 2016

SHINA LA UKOO NA URITHI ULIOMO NDANI YAKE



SHINA LA UKOO NA URITHI.
Imeandaliwa na mr.luhwago shadrack c mwanafunzi wa sayansi ya chakula na teknolojia SUA (2013-2016)
Mawasiliano: 0764444277, luhwagoshadrack17@gmail.com
UTANGULIZI.
Somo hili ni pana na lina mafundisho jinsi ya kutambua jinsi dhambi mbali mbali zinavyoweza kutoka kizazi kimoja kwenda kizazi kingine , Bila ya kizazi chenyewe kutambua
MAANA YA SHINA LA UKOO URITHI
Katika kichwa hiki cha somo tunatakiwa tujue maana ya maswali yafuatayo
ü  a/ nini maana ya shina
ü  b/nini maana ya shina la ukoo
ü  c/nini maana ya urithi
ü  d/nani anarithishwa
ü  e/ sifa za mwenye kurithishwa