Na Faustin Kamugisha
“MUWE TAYARI siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari
za tumaini lililo
Thursday, 25 February 2016
Monday, 15 February 2016
THE POWER OF COVENANT, AGREEMENT AND RESPONSIBILITY IN FAITH.
Nimekumbushwa na Roho Mtakatifu kutoa somo hili
Wanaongia katka makubaliano wanakuwa na sifa gani
Nimefundisha somo hili katika fellowship mbalimbali na wengi wamesonga mbele kiroho
kwa kawaida Wanaopatana
- Nini maana ya covenant
- Agano
- Maana yake ni nini
- What is agreement?
- And what is responsibility
Wanaongia katka makubaliano wanakuwa na sifa gani
Nimefundisha somo hili katika fellowship mbalimbali na wengi wamesonga mbele kiroho
kwa kawaida Wanaopatana
Friday, 12 February 2016
"NEEMA YA KUKUSAIDIA WAKATI WA MAHITAJI (MAGUMU/ SHIDA/ CHANGAMOTO/ MATATIZO)"
Waebrania 4:16
"Basi na tukikaribie KITI CHA NEEMA kwa ujasiri, ili
tupewe REHEMA, NA KUPATA NEEMA YA KUTUSAIDIA WAKATI WA MAHITAJI"
Ni habari njema mno kujua kuwa mbinguni hakuna kiti cha
hukumu tu.
Hakuna kiti cha enzi tu.
Pia kuna kiti cha neema. Kiti maalum ambacho kinaachilia
neema kwa walio ndani ya Yesu.
Ukimwendea Yesu
KUFUNGA NA KUOMBA
kufunga nini?
kuomba ni kitu gani?
kuomba na kufunga kuna uhusiano gani?
katika hili zipo sababu nyingi sana kwa nini tunafunga na kuomba. kwa leo ngoja nikupitishe katika maandiko , uweze kuelewa hili na litakusaidia sana .BABA KATIKA JINA LA YESU KRISTO UTUTAZAME SISI WAJA WAKO , UELEWA WA SOMO HILI SAWASAWA NA MAPENZI YAKO. AMINA.
Thursday, 4 February 2016
SHINA LA UKOO NA URITHI ULIOMO NDANI YAKE
SHINA LA UKOO NA URITHI.
Imeandaliwa na mr.luhwago shadrack c mwanafunzi wa
sayansi ya chakula na teknolojia SUA (2013-2016)
Mawasiliano: 0764444277, luhwagoshadrack17@gmail.com
UTANGULIZI.
Somo hili ni pana na lina mafundisho jinsi ya kutambua
jinsi dhambi mbali mbali zinavyoweza kutoka kizazi kimoja kwenda kizazi kingine
,
Bila ya kizazi chenyewe
kutambua
MAANA
YA SHINA LA UKOO URITHI
Katika kichwa hiki cha somo tunatakiwa tujue maana ya
maswali yafuatayo
ü a/ nini maana ya shina
ü b/nini maana ya shina la ukoo
ü c/nini maana ya urithi
ü d/nani anarithishwa
ü e/ sifa za mwenye
kurithishwa
Subscribe to:
Posts (Atom)