Tuesday, 22 March 2016

A FIGHT FOR A TERRITORY.(PAMBANA DHIDI YA MILIKI AU HIMAYA YAKO)

BY LUHWAGO SHADRACK C                   PDF HERE>>>


What is a territory?.                                                           
What is in the territory?
Why to fight for your territory?
Hii ndiyo maana ya kawaida kabisa ya neno Territory is (an area of) land or sometimes sea, which is considered as belonging to or connected with a particular country or person.
KATIKA HII DIFINITION KUNA MANENO KAMA connected, na belonging.ni maneno ambayo yamenisukuma siku ya leo kutoa somo hili kwako mpendwa Taifa Teule la Mungu.
Kwa hali ya kawaida kila mmoja wetu ana miliki

Tuesday, 15 March 2016

MAARIFA YA NDOTO KATIKA ULIMWENGU WA ROHO

                                      
                Imeandaliwa na luhwago shadrack c contacts 0764444277/0712105099
                                luhwagoshadrack17@gmail.com.

PDF HERE

Ndoto ni mtiririko wa picha zitembeazo katika akili ya mtu,pindi mtu huyo anapokuwa amelala. Ndoto huja pale mtu anapokuwa amelala,na ndio maana huwezi kumkuta mtu ambaye ajalala,mtu atembeaye kisha akuambie ya kwamba alikuwa anaota ndoto wakati anatembea.
Actually ndoto husubiri kupumzika kwa akili. Wakati mwingine

UTUKUFU NI MBELE KWA MBELE

Mungu alichokuwekea hakiozi. Ni methali ya Tanzania. Ni methali ambayo inatia matumaini kwa watafutaji na waliokata tamaa. Makubwa Mungu aliyokuwekea yatafunuliwa mbele kwa mbele. Utukufu ni mbele kwa mbele. Mungu anaweza kubadili