BY LUHWAGO SHADRACK C PDF HERE>>>
What is a territory?.
What is in the territory?
Why to fight for your territory?
Hii ndiyo maana ya kawaida kabisa ya neno Territory is (an area of) land or sometimes sea, which is considered as belonging to or connected with a particular country or person.
KATIKA HII DIFINITION KUNA MANENO KAMA connected, na belonging.ni maneno ambayo yamenisukuma siku ya leo kutoa somo hili kwako mpendwa Taifa Teule la Mungu.
Kwa hali ya kawaida kila mmoja wetu ana miliki
Tuesday, 22 March 2016
Tuesday, 15 March 2016
MAARIFA YA NDOTO KATIKA ULIMWENGU WA ROHO
Imeandaliwa na luhwago shadrack c contacts 0764444277/0712105099
luhwagoshadrack17@gmail.com.
PDF HERE
Ndoto ni mtiririko wa picha zitembeazo katika akili ya mtu,pindi mtu huyo anapokuwa amelala. Ndoto huja pale mtu anapokuwa amelala,na ndio maana huwezi kumkuta mtu ambaye ajalala,mtu atembeaye kisha akuambie ya kwamba alikuwa anaota ndoto wakati anatembea.
Actually ndoto husubiri kupumzika kwa akili. Wakati mwingine
UTUKUFU NI MBELE KWA MBELE
Mungu
alichokuwekea hakiozi. Ni methali ya Tanzania. Ni methali ambayo inatia
matumaini kwa watafutaji na waliokata tamaa. Makubwa Mungu aliyokuwekea
yatafunuliwa mbele kwa mbele. Utukufu ni mbele kwa mbele. Mungu anaweza
kubadili
Subscribe to:
Posts (Atom)