Saturday, 4 June 2016
HII NDO DUNIA YA LEO WARUMI 12:2
WADADA;
HUKU NI KWENDA NA SHETANI? au NI KWENDA NA WAKATI?
Kuna
wadada wengi sana (ila sio wote),
WANAMPIGIA
SHETANI KAMPENI
.
THEY LACK
CONFIDENCE ABOUT THEIR BEAUTY
. Na
wanaitumia hiyo miili yao kuangusha watu kiroho. Badala ya kuvaa nguo nzuri za
kupendeza, wanavaa nguo za ajabu ajabu za kutega wanaume. Mdada anavaa nguo za
“kutamanisha” badala
ya za “kupendezesha”. Wanavaa visuruari vinavyowachora
Tuesday, 22 March 2016
A FIGHT FOR A TERRITORY.(PAMBANA DHIDI YA MILIKI AU HIMAYA YAKO)
BY LUHWAGO SHADRACK C PDF HERE>>>
What is a territory?.
What is in the territory?
Why to fight for your territory?
Hii ndiyo maana ya kawaida kabisa ya neno Territory is (an area of) land or sometimes sea, which is considered as belonging to or connected with a particular country or person.
KATIKA HII DIFINITION KUNA MANENO KAMA connected, na belonging.ni maneno ambayo yamenisukuma siku ya leo kutoa somo hili kwako mpendwa Taifa Teule la Mungu.
Kwa hali ya kawaida kila mmoja wetu ana miliki
What is a territory?.
What is in the territory?
Why to fight for your territory?
Hii ndiyo maana ya kawaida kabisa ya neno Territory is (an area of) land or sometimes sea, which is considered as belonging to or connected with a particular country or person.
KATIKA HII DIFINITION KUNA MANENO KAMA connected, na belonging.ni maneno ambayo yamenisukuma siku ya leo kutoa somo hili kwako mpendwa Taifa Teule la Mungu.
Kwa hali ya kawaida kila mmoja wetu ana miliki
Tuesday, 15 March 2016
MAARIFA YA NDOTO KATIKA ULIMWENGU WA ROHO
Imeandaliwa na luhwago shadrack c contacts 0764444277/0712105099
luhwagoshadrack17@gmail.com.
PDF HERE
Ndoto ni mtiririko wa picha zitembeazo katika akili ya mtu,pindi mtu huyo anapokuwa amelala. Ndoto huja pale mtu anapokuwa amelala,na ndio maana huwezi kumkuta mtu ambaye ajalala,mtu atembeaye kisha akuambie ya kwamba alikuwa anaota ndoto wakati anatembea.
Actually ndoto husubiri kupumzika kwa akili. Wakati mwingine
UTUKUFU NI MBELE KWA MBELE
Mungu
alichokuwekea hakiozi. Ni methali ya Tanzania. Ni methali ambayo inatia
matumaini kwa watafutaji na waliokata tamaa. Makubwa Mungu aliyokuwekea
yatafunuliwa mbele kwa mbele. Utukufu ni mbele kwa mbele. Mungu anaweza
kubadili
Thursday, 25 February 2016
USIKATE TAMAA KWANI PANCHA SIYO MWISHO WA SAFARI
Na Faustin Kamugisha
“MUWE TAYARI siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo
“MUWE TAYARI siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo
Subscribe to:
Posts (Atom)